Nenda kwa yaliyomo

Tambiko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tambiko (kutoka kitenzi "kutamba" au "kutambika") ni utekelezaji wa ada maalumu ili kutuliza mizimu, koma au pepo. Mara nyingi matambiko hufanyika kwa kuambatana na kafara. Baadhi ya makabila huweza kuchinja wanyama, wengine hutumia pombe na kadhalika. Kimsingi kafara linalotolewa katika tambiko hutegemea na kabila.

Matambiko huwa hayakubaliki sana katika dini mbalimbali ila huaminika katika makabila kama mila na desturi za jamii hizo. Kwa mfano, tambiko halifai katika sheria ya dini ya Uislamu kutokana na ushirikina unaopatikana ndani ya tambiko.

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy