Nenda kwa yaliyomo

Peyton Rous

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Francis Peyton Rous (5 Oktoba 187916 Februari 1970) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi vinavyosababisha kensa. Mwaka wa 1966, pamoja na Charles Huggins alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peyton Rous kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy