Nenda kwa yaliyomo

Mto Mwekundu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mto Mwekundu karibu na chanzo chake katika China (Aprili 2002.)

Mto Mwekundu ni mto mkubwa wa Vietnam ya Kaskazini. Inaanzia katika jimbo la Yunnan la China na kupita sehemu ya kaskazini ya Vietnam hadi kuishia katika Bahari ya Kusini ya China. Urefu wake ni km 1149. Tawimto kubwa ni Mto Mweusi.

Hanoi mji mkuu wa Vietnam iko kando la Mto Mwekundu. Maji yake huwezesha kilimo cha mpunga katika tambarare za Vietnam ya Kaskazini.

pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy