Nenda kwa yaliyomo

Kigidar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kigidar ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Kamerun na Chad inayozungumzwa na Wagidar. Mwaka wa 1982 idadi ya wasemaji wa Kigidar imehesabiwa kuwa watu 54,000. Pia mwaka wa 1993, wasemaji 11,700 wamehesabiwa nchini Chad. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigidar iko katika kundi la Kichadiki.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigidar kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy