Nenda kwa yaliyomo

Chizuru Arai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chizuru Arai (alizaliwa 1 Novemba 1993) ni raia wa Japani aliyeshinda medali ya dhahabu na fedha katika michezo ya Olimpiki ya msimuwa majira ya joto wa mwaka 2020 kwenye kundi la watu wenye uzito wa kilo 70 wa mchezo wa judo uliyohusisha timu mchanganyiko katika hafla hiyo. Chizuru Arai kwa sasa amestaafu Judo.

pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy