Content-Length: 143175 | pFad | http://sw.wikipedia.org/wiki/Papa_Adriano_V

Papa Adrian V - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Papa Adrian V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Adriano V)
Papa Adriano V.

Papa Adrian V (takriban 120518 Agosti 1276) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Julai 1276 hadi kifo chake[1]. Alitokea Genova, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ottobuono Fieschi.

Alimfuata Papa Inosenti V akafuatwa na Papa Yohane XXI.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: http://sw.wikipedia.org/wiki/Papa_Adriano_V

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy