Ramani : Tofauti kati ya masahihisho
Mandhari
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: az:Coğrafi xəritə |
d r2.5.1) (roboti Nyongeza: bat-smg:Žemielapis |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
[[ast:Mapa]] |
[[ast:Mapa]] |
||
[[az:Coğrafi xəritə]] |
[[az:Coğrafi xəritə]] |
||
[[bat-smg:Žemielapis]] |
|||
[[be:Геаграфічная карта]] |
[[be:Геаграфічная карта]] |
||
[[be-x-old:Мапа]] |
[[be-x-old:Мапа]] |
Pitio la 15:24, 5 Februari 2011
Ramani ni picha -kwa awaida mchoro- ya dunia au sehemu au sifa zake. Ni tofauti na picha iliyopigwa kwa kamera kutoka ndege au chombo cha angani kwa sababu mchora ramani anaamua anachotaka kuonyesha na kuzipa uzito sifa anazotaka kuweka mkazo.
Kuna aina nyingi za ramani.
- ramani za topografia huonyesha uso wa dunia (kwa mfano: bahari, nchi, milima, mito, kimo cha ardhi na kina cha bahari)
- ramani za sifa huonyesha sifa fulani kuhusiana na dunia (kwa mfano: historia, uchumi, usambazaji wa wakazi katika nchi n.k.)
- ramani inaweza kufuata uso wa dunia
- ramani inaweza kufuata mahitaja ya mtazamaji (ramani ya njia ya reli huonyesha mstari tu na ufuatano wa vituo bila kutaja kona na mabadiliko ya mwelekeo)
Kila mchora ramani anahitaji kuamua jinsi ya kuonyesha mambo yake. Kwa ramani za kijiografia tatizo hutokana na umbo la dunia ambayo ni tufe wakati ramani kwa kawaida ni karatasi bapa.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|