Content-Length: 77237 | pFad | https://sw.wikipedia.org/wiki/Max_Perutz

Max Perutz - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Max Perutz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Max Perutz

Max Ferdinand Perutz (19 Mei 19146 Februari 2002) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Austria. Baadaye alihamia Uingereza. Hasa alichunguza sifa za himoglobini. Mwaka wa 1962, pamoja na John Kendrew alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Max Perutz kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Max_Perutz

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy