Content-Length: 75572 | pFad | https://sw.wikipedia.org/wiki/Halmahera

Halmahera - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Halmahera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Halmahera

Halmahera (pia Jailolo) ni kisiwa cha Visiwa vya Maluku nchini Indonesia. Kiko upande wa kaskazini wa visiwa vya Maluku.

Eneo la kisiwa ni km² 17,780.

Mwaka wa 2010 idadi ya watu kisiwani ilihesabiwa kuwa 449,938.

Mji mkuu kisiwani ni Sofifi.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Halmahera kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.








ApplySandwichStrip

pFad - (p)hone/(F)rame/(a)nonymizer/(d)eclutterfier!      Saves Data!


--- a PPN by Garber Painting Akron. With Image Size Reduction included!

Fetched URL: https://sw.wikipedia.org/wiki/Halmahera

Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy